Kumbukumbu la Torati 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+ Zaburi 136:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mshukuruni Bwana wa mabwana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+
3 Mshukuruni Bwana wa mabwana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+