17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+
3Kwa maana, tazama!+ Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, anaondoa katika Yerusalemu+ na katika Yuda kitegemeo na tegemeo, kitegemeo kizima cha mkate na kitegemeo kizima cha maji,+