Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Nao hakika watakula uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ nao hawatakuachia nafaka yoyote, divai mpya au mafuta, mtoto wa ng’ombe wako au uzao wa kundi lako, mpaka watakapokuwa wamekuangamiza.+

  • Yeremia 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa amri, kisha wakamtia Yeremia kifungoni katika Ua wa Walinzi;+ wakampa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji,+ mpaka mkate wote ulipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+

  • Ezekieli 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, tazama, ninavunja fimbo ambazo mikate ya mviringo huning’inizwa,+ katika Yerusalemu, nao watalazimika kula mkate wao kulingana na kipimo na kwa hangaiko zito,+ nao watakunywa maji kulingana na kipimo na kwa tisho,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki