Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Katika siku ya tisa+ ya mwezi wa nne njaa+ ilikuwa kali ndani ya jiji, na hapakuwa na mkate+ kwa ajili ya watu wa nchi.

  • Yeremia 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa amri, kisha wakamtia Yeremia kifungoni katika Ua wa Walinzi;+ wakampa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji,+ mpaka mkate wote ulipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+

  • Maombolezo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Watu wake wote wanaugua; wanatafuta mkate.+

      Wametoa vitu vyao vyenye kutamanika wapate chakula, ili kuiburudisha nafsi.+

      Uone, Ee Yehova, na utazame, kwa maana nimekuwa kama mwanamke asiye na thamani.+

  • Maombolezo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wale waliouawa kwa upanga+ wamekuwa bora kuliko wale waliouawa kwa njaa,+

      Kwa sababu hao hudhoofika, wakichomwa kwa sababu ya ukosefu wa mazao ya shambani.

  • Maombolezo 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tunauleta mkate wetu kwa kuhatarisha nafsi zetu,+ kwa sababu ya upanga wa nyika.

  • Ufunuo 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasikia sauti kana kwamba ni katikati+ ya wale viumbe hai wanne+ ikisema: “Kibaba cha ngano kwa dinari+ moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja; wala usidhuru mafuta ya zeituni na divai.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki