1 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kunguru wakamletea mkate na nyama wakati wa asubuhi na mkate na nyama wakati wa jioni, naye akaendelea kunywa maji katika lile bonde la mto.+ Zaburi 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hawataona aibu wakati wa msiba,+Na katika siku za njaa watashiba.+
6 Na kunguru wakamletea mkate na nyama wakati wa asubuhi na mkate na nyama wakati wa jioni, naye akaendelea kunywa maji katika lile bonde la mto.+