Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Je, mkono wa Yehova ni mfupi?+ Sasa utaona ikiwa ninalosema litatukia kwako au hapana.”+

  • Waamuzi 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo Mungu akapasua shimo lenye umbo la kinu lililokuwa katika Lehi, na maji+ yakaanza kutoka ndani yake, naye akanywa, kisha roho+ yake ikarudi na nguvu zikamrudia.+ Ndiyo sababu aliliita kwa jina la En-hakore, nalo lipo katika Lehi mpaka leo hii.

  • Zaburi 37:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hawataona aibu wakati wa msiba,+

      Na katika siku za njaa watashiba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki