19 Kwa hiyo Mungu akapasua shimo lenye umbo la kinu lililokuwa katika Lehi, na maji+ yakaanza kutoka ndani yake, naye akanywa, kisha roho+ yake ikarudi na nguvu zikamrudia.+ Ndiyo sababu aliliita kwa jina la En-hakore, nalo lipo katika Lehi mpaka leo hii.