Waamuzi 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Mungu akapasua mahali penye shimo huko Lehi, na maji yakatiririka kutoka humo.+ Alipoyanywa, roho yake ikamrudia* akapata nguvu tena. Ndiyo sababu aliiita sehemu hiyo En-hakore,* nayo iko Lehi mpaka leo. Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:19 Mnara wa Mlinzi (Funzo),9/2023, uku. 4
19 Basi Mungu akapasua mahali penye shimo huko Lehi, na maji yakatiririka kutoka humo.+ Alipoyanywa, roho yake ikamrudia* akapata nguvu tena. Ndiyo sababu aliiita sehemu hiyo En-hakore,* nayo iko Lehi mpaka leo.