Mwanzo 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Mungu akafungua macho yake hata akaona kisima cha maji,+ naye akaenda, akaanza kukijaza maji kiriba na kumnywesha huyo mvulana. Kutoka 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tazama! Nitasimama mbele yako juu ya mwamba huko Horebu. Nawe utaupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, na watu watayanywa.”+ Kisha Musa akafanya hivyo machoni pa wanaume wazee wa Israeli. Mathayo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
19 Kisha Mungu akafungua macho yake hata akaona kisima cha maji,+ naye akaenda, akaanza kukijaza maji kiriba na kumnywesha huyo mvulana.
6 Tazama! Nitasimama mbele yako juu ya mwamba huko Horebu. Nawe utaupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, na watu watayanywa.”+ Kisha Musa akafanya hivyo machoni pa wanaume wazee wa Israeli.
26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+