25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya Nguzo na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,+ ule wa juu ambao ni wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+
2 Na wakati huo majeshi ya mfalme wa Babiloni yalikuwa yanazingira Yerusalemu;+ naye Yeremia nabii alikuwa chini ya kizuizi katika Ua wa Walinzi+ ulio katika nyumba ya mfalme wa Yuda;
28 Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi+ mpaka siku ambayo Yerusalemu lilitekwa.+ Na hilo likatukia wakati tu ambapo Yerusalemu lilitekwa.+