Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya Nguzo na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,+ ule wa juu ambao ni wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+

  • Yeremia 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakati huo majeshi ya mfalme wa Babiloni yalikuwa yanazingira Yerusalemu;+ naye Yeremia nabii alikuwa chini ya kizuizi katika Ua wa Walinzi+ ulio katika nyumba ya mfalme wa Yuda;

  • Yeremia 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amefungiwa katika Ua wa Walinzi,+ likisema:

  • Yeremia 38:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwishowe wakamvuta Yeremia nje kwa zile kamba na kumtoa ndani ya lile tangi. Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+

  • Yeremia 38:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi+ mpaka siku ambayo Yerusalemu lilitekwa.+ Na hilo likatukia wakati tu ambapo Yerusalemu lilitekwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki