8 Na katika mwezi wa tano, siku ya saba ya mwezi huo, yaani, mwaka wa kumi na tisa+ wa Mfalme Nebukadneza mfalme wa Babiloni, Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi, mtumishi wa mfalme wa Babiloni, aliingia ndani ya Yerusalemu.+
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.