Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa amri, kisha wakamtia Yeremia kifungoni katika Ua wa Walinzi;+ wakampa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji,+ mpaka mkate wote ulipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+

  • Yeremia 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova amesema hivi, ‘Yule anayeendelea kukaa ndani ya jiji hili ndiye atakayekufa kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.+ Lakini yule atakayetoka nje kuwaendea Wakaldayo ndiye atakayeendelea kuishi na ndiye ambaye hakika nafsi yake itakuwa kama nyara kwake na ikiwa hai.’+

  • Maombolezo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+

      Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+

  • Ezekieli 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sehemu ya tatu yako—kwa tauni watakufa,+ na kwa njaa watafikia mwisho wao katikati yako.+ Na sehemu nyingine ya tatu—kwa upanga wataanguka kukuzunguka pande zote. Na sehemu ya tatu ya mwisho nitawatawanya hata kuelekea kila upepo,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yao.+

  • Ezekieli 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Upanga+ uko nje, na tauni na njaa zimo ndani.+ Yeyote aliye uwanjani, atakufa kwa upanga, na wowote walio jijini, njaa na tauni zitawameza.+

  • Ezekieli 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Hivyo, pia, ndivyo itakavyokuwa wakati kutakapokuwa na hukumu zangu nne zenye madhara+—upanga na njaa na mnyama-mwitu mwenye kudhuru na tauni+—nitakazoleta juu ya Yerusalemu ili kumkatilia mbali kutoka humo mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki