9 Yeye anayeketi tuli katika jiji hili atakufa kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni;+ lakini yeye anayetoka nje na ambaye kwa kweli anajitia mkononi mwa Wakaldayo wanaowazingira ninyi ataendelea kuishi, na nafsi yake hakika itakuwa kama nyara kwake.”’+
13 Kwa nini wewe mwenyewe na watu wako mfe kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni+ kulingana na yale ambayo Yehova amesema kuhusu lile taifa ambalo halitamtumikia mfalme wa Babiloni?