13 Kwa nini wewe mwenyewe na watu wako mfe kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni+ kulingana na yale ambayo Yehova amesema kuhusu lile taifa ambalo halitamtumikia mfalme wa Babiloni?
2 “Yehova amesema hivi, ‘Yule anayeendelea kukaa ndani ya jiji hili ndiye atakayekufa kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.+ Lakini yule atakayetoka nje kuwaendea Wakaldayo ndiye atakayeendelea kuishi na ndiye ambaye hakika nafsi yake itakuwa kama nyara kwake na ikiwa hai.’+