Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa nini wewe mwenyewe na watu wako mfe kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni+ kulingana na yale ambayo Yehova amesema kuhusu lile taifa ambalo halitamtumikia mfalme wa Babiloni?

  • Yeremia 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova amesema hivi, ‘Yule anayeendelea kukaa ndani ya jiji hili ndiye atakayekufa kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.+ Lakini yule atakayetoka nje kuwaendea Wakaldayo ndiye atakayeendelea kuishi na ndiye ambaye hakika nafsi yake itakuwa kama nyara kwake na ikiwa hai.’+

  • Ezekieli 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Upanga+ uko nje, na tauni na njaa zimo ndani.+ Yeyote aliye uwanjani, atakufa kwa upanga, na wowote walio jijini, njaa na tauni zitawameza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki