Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Nami nitawafuatilia kwa upanga, kwa njaa na kwa tauni, nami nitawatoa wawe kitu cha kutetemesha falme zote za dunia,+ kuwa laana na kuwa kitu cha kushangaza na kuwa kitu cha kupigiwa mluzi na kuwa kitu cha kushutumiwa katikati ya mataifa yote ambako hakika nitawatawanya,+

  • Ezekieli 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Piga makofi+ na kufanya vishindo kwa mguu wako, na kusema: “Ole wangu!” kwa sababu ya machukizo yote mabaya ya nyumba ya Israeli,+ kwa sababu wataanguka+ kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.

  • Ezekieli 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Upanga+ uko nje, na tauni na njaa zimo ndani.+ Yeyote aliye uwanjani, atakufa kwa upanga, na wowote walio jijini, njaa na tauni zitawameza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki