11 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Piga makofi na upige mguu chini, na uomboleze kwa sababu ya mambo yote maovu na yanayochukiza yaliyofanywa na watu wa nyumba ya Israeli, kwa maana watakufa kwa upanga, kwa njaa kali na kwa ugonjwa hatari.+