Ezekieli 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Piga makofi+ na kufanya vishindo kwa mguu wako, na kusema: “Ole wangu!” kwa sababu ya machukizo yote mabaya ya nyumba ya Israeli,+ kwa sababu wataanguka+ kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:11 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 13
11 “Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Piga makofi+ na kufanya vishindo kwa mguu wako, na kusema: “Ole wangu!” kwa sababu ya machukizo yote mabaya ya nyumba ya Israeli,+ kwa sababu wataanguka+ kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.