- 
	                        
            
            Ezekieli 14:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
21 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Hivyo, pia, ndivyo itakavyokuwa wakati kutakapokuwa na hukumu zangu nne zenye madhara+—upanga na njaa na mnyama-mwitu mwenye kudhuru na tauni+—nitakazoleta juu ya Yerusalemu ili kumkatilia mbali kutoka humo mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa.+
 
 -