Yeremia 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wale watakaobaki katika jiji hili watakufa kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo wanaowazingira ataendelea kuishi, naye atapata uhai wake* kama nyara.”’*+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 21:9 w02 10/1 15-16 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:9 Mnara wa Mlinzi,10/1/2002, kur. 15-16
9 Wale watakaobaki katika jiji hili watakufa kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo wanaowazingira ataendelea kuishi, naye atapata uhai wake* kama nyara.”’*+