Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 27:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia nilimwambia Mfalme Sedekia+ wa Yuda maneno hayohayo, nikisema: “Wekeni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babiloni na mumtumikie yeye na watu wake, nanyi mtaendelea kuishi.+ 13 Kwa nini wewe na watu wako mfe kwa upanga,+ kwa njaa kali,+ na kwa ugonjwa hatari,+ kama Yehova alivyosema kuhusu taifa ambalo halitamtumikia mfalme wa Babiloni?

  • Yeremia 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova anasema hivi: ‘Yule atakayebaki katika jiji hili atakufa kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari.+ Lakini yule atakayejisalimisha* kwa Wakaldayo ataendelea kuishi naye atapata uhai wake* kama nyara* na kuendelea kuishi.’+

  • Yeremia 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha Yeremia akamwambia Sedekia: “Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Ukijisalimisha* kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, uhai wako utaokoka,* na jiji hili halitateketezwa kwa moto, na wewe na watu wa nyumba yako mtaokoka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki