-
Yeremia 21:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “Nawe utawaambia watu hawa, ‘Yehova anasema hivi: “Tazameni, ninaweka mbele yenu njia ya uzima na njia ya kifo. 9 Wale watakaobaki katika jiji hili watakufa kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo wanaowazingira ataendelea kuishi, naye atapata uhai wake* kama nyara.”’*+
10 “‘“Kwa maana nimelikataa* jiji hili nalo litapata msiba wala si mema,”+ asema Yehova. “Litatiwa mikononi mwa mfalme wa Babiloni,+ naye ataliteketeza kwa moto.”+
-