Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa nini wewe na watu wako mfe kwa upanga,+ kwa njaa kali,+ na kwa ugonjwa hatari,+ kama Yehova alivyosema kuhusu taifa ambalo halitamtumikia mfalme wa Babiloni?

  • Yeremia 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Nami nitawafuatia kwa upanga,+ kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari, nami nitawafanya wawe kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia,+ na laana, na kitu cha kushangaza, kitu cha kupigiwa mluzi,+ na shutuma miongoni mwa mataifa yote ambako nitawatawanya,+

  • Ezekieli 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Upanga uko nje,+ na ugonjwa hatari na njaa kali zimo ndani. Yeyote aliye uwanjani atakufa kwa upanga, na njaa kali na ugonjwa hatari vitawameza wale walio jijini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki