Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Yeremia akamwambia Sedekia: “Yehova, Mungu wa majeshi,+ Mungu wa Israeli,+ amesema hivi, ‘Bila shaka ukitoka nje kwenda kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni,+ hakika nafsi yako itaendelea kuishi na jiji hili halitateketezwa kwa moto, na wewe mwenyewe na nyumba yako hakika mtaendelea kuishi.+

  • Yeremia 39:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Kwa maana bila shaka nitakuokoa, nawe hutaanguka kwa upanga; na hakika nafsi yako itakuwa kama nyara kwako,+ kwa sababu umenitegemea mimi,’+ asema Yehova.”

  • Yeremia 45:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wewe unaendelea kujitafutia makuu.+ Usiendelee kuyatafuta.”’+

      “‘Kwa maana, tazama, ninaleta msiba juu ya wote wenye mwili,’+ asema Yehova, ‘nami nitakupa wewe nafsi yako kuwa nyara katika mahali pote utakapoenda.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki