Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 66:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+

  • Yeremia 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 na wafalme wote wa kaskazini walio karibu na walio mbali, mmoja baada ya mwingine, na falme nyingine zote za dunia zilizo juu ya uso wa nchi; naye mfalme wa Sheshaki+ atakunywa baada yao.

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’+ asema Yehova, ‘mpaka siku nitakaposimama kwenda kuteka nyara,+ kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kukusanya mataifa,+ nizikusanye falme pamoja, ili nizimwagie shutuma yangu,+ hasira yangu yote yenye kuwaka; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki