8 ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’+ asema Yehova,
‘Mpaka siku nitakapoinuka ili kuchukua nyara,
Kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme,
Niwamwagie ghadhabu yangu, hasira yangu yote inayowaka;+
Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+