Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+ Zaburi 130:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+Naye ana nguvu nyingi za kukomboa. Isaya 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini Yehova anangoja kwa subira* ili kuwaonyesha kibali,+Naye atainuka ili kuwaonyesha rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa haki.+ Wenye furaha ni wote wanaoendelea kumtarajia.*+
34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+
7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+Naye ana nguvu nyingi za kukomboa.
18 Lakini Yehova anangoja kwa subira* ili kuwaonyesha kibali,+Naye atainuka ili kuwaonyesha rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa haki.+ Wenye furaha ni wote wanaoendelea kumtarajia.*+