Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo. Yeremia 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nirekebishe, Ee Yehova, kulingana na hukumu,Lakini si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+
4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo.