6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
9 Kwa maana niko pamoja nanyi, nami nitawageukia, nanyi mtalimwa na kupandwa mbegu. 10 Nitazidisha idadi ya watu wako—nyumba yote ya Israeli, yote—nayo majiji yatakaliwa+ na magofu yatajengwa upya.+