Isaya 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+ Yeremia 30:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova anasema hivi: “Ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+Nami nitayahurumia makao yake. Jiji litajengwa upya juu ya kilima chake,+Na mnara wenye ngome utasimama mahali pake panapofaa. 19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+ Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+Nitawafanya kuwa wengi,*Nao hawatakuwa duni.+ Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+
18 Yehova anasema hivi: “Ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+Nami nitayahurumia makao yake. Jiji litajengwa upya juu ya kilima chake,+Na mnara wenye ngome utasimama mahali pake panapofaa. 19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+ Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+Nitawafanya kuwa wengi,*Nao hawatakuwa duni.+
14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+