3 Kwa maana “tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapowakusanya watu wangu waliotekwa, Israeli na Yuda,”+ asema Yehova, “nami nitawarudisha katika nchi niliyowapa mababu zao, nao wataimiliki tena.”’”+
25 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Nitawarudisha watu wa Yakobo waliotekwa+ na kuwaonyesha rehema watu wote wa nyumba ya Israeli;+ nami nitalitetea jina langu takatifu kwa bidii.*+