Isaya 62:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu: “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+ 9 Lakini wale wanaoikusanya wataila nao watamsifu Yehova;Na wale wanaoikusanya watainywa katika nyua zangu takatifu.”+ Mika 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.
8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu: “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+ 9 Lakini wale wanaoikusanya wataila nao watamsifu Yehova;Na wale wanaoikusanya watainywa katika nyua zangu takatifu.”+
4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.