21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake,+
Nao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+
22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,
Wala hawatapanda na watu wengine wale.
Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+
Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.