Isaya 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu: “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+ Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu: “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+
14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+