Kumbukumbu la Torati 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova Mungu wenu atawarudisha katika nchi ambayo baba zenu walimiliki, nanyi mtaimiliki; naye atawafanikisha na kuwafanya mwongezeke kuliko baba zenu.+ Isaya 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku zinazokuja Yakobo atatia mizizi,Israeli atachanua maua na kuchipuka,+Nao watajaza mazao katika nchi.+ Zekaria 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 ‘Nitawapigia mluzi na kuwakusanya pamoja;Kwa maana nitawakomboa,+ nao watakuwa wengi,Na kuendelea kuongezeka.
5 Yehova Mungu wenu atawarudisha katika nchi ambayo baba zenu walimiliki, nanyi mtaimiliki; naye atawafanikisha na kuwafanya mwongezeke kuliko baba zenu.+
6 Siku zinazokuja Yakobo atatia mizizi,Israeli atachanua maua na kuchipuka,+Nao watajaza mazao katika nchi.+
8 ‘Nitawapigia mluzi na kuwakusanya pamoja;Kwa maana nitawakomboa,+ nao watakuwa wengi,Na kuendelea kuongezeka.