21 Na watu wako wote watakuwa waadilifu;
Wataimiliki nchi milele.
Wao ndio chipukizi nililopanda,
Kazi ya mikono yangu,+ ili nirembeshwe.+
22 Mdogo atakuwa elfu
Na mnyonge atakuwa taifa lenye nguvu.
Mimi mwenyewe, Yehova, nitaliharakisha jambo hilo kwa wakati wake.”