Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 60:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na watu wako wote watakuwa waadilifu;

      Wataimiliki nchi milele.

      Wao ndio chipukizi nililopanda,

      Kazi ya mikono yangu,+ ili nirembeshwe.+

      22 Mdogo atakuwa elfu

      Na mnyonge atakuwa taifa lenye nguvu.

      Mimi mwenyewe, Yehova, nitaliharakisha jambo hilo kwa wakati wake.”

  • Yeremia 30:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova anasema hivi:

      “Ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+

      Nami nitayahurumia makao yake.

      Jiji litajengwa upya juu ya kilima chake,+

      Na mnara wenye ngome utasimama mahali pake panapofaa.

      19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+

      Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+

      Nitawafanya kuwa wengi,*

      Nao hawatakuwa duni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki