27 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 37 wa uhamisho wa Yehoyakini+ mfalme wa Yuda, katika mwezi wa 12, siku ya 27 ya mwezi huo, Evil-merodaki+ mfalme wa Babiloni, katika mwaka wa kuwa kwake mfalme, akakiinua kichwa+ cha Yehoyakini mfalme wa Yuda kutoka katika nyumba ya kifungo;