9 Yeye anayeketi tuli katika jiji hili atakufa kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni;+ lakini yeye anayetoka nje na ambaye kwa kweli anajitia mkononi mwa Wakaldayo wanaowazingira ninyi ataendelea kuishi, na nafsi yake hakika itakuwa kama nyara kwake.”’+
18 “‘Kwa maana bila shaka nitakuokoa, nawe hutaanguka kwa upanga; na hakika nafsi yako itakuwa kama nyara kwako,+ kwa sababu umenitegemea mimi,’+ asema Yehova.”
6 wanaume na wake na watoto wadogo na binti za mfalme+ na kila nafsi ambayo Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi alikuwa ameacha wakae pamoja na Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ na Yeremia nabii na Baruku+ mwana wa Neria.