26 Na zaidi ya hayo, mfalme akawaamuru Yerahmeeli mwana wa mfalme na Seraya mwana wa Azrieli na Shelemia mwana wa Abdeeli waende kumleta Baruku mwandishi na Yeremia nabii.+ Lakini Yehova akaendelea kuwaficha.+
45Neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku+ mwana wa Neria alipoandika katika kitabu maneno haya kutoka kinywani mwa Yeremia+ katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, akisema: