9 Yeye anayeketi tuli katika jiji hili atakufa kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni;+ lakini yeye anayetoka nje na ambaye kwa kweli anajitia mkononi mwa Wakaldayo wanaowazingira ninyi ataendelea kuishi, na nafsi yake hakika itakuwa kama nyara kwake.”’+
12 Hata Sedekia+ mfalme wa Yuda nilimwambia kulingana na maneno haya yote,+ nikisema: “Tieni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babiloni, mkamtumikie yeye na watu wake, mwendelee kuishi.+