Waroma 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+ 1 Wakorintho 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 na wale wanaoutumia ulimwengu+ wawe kama wale wasioutumia kwa ukamili; kwa maana tamasha ya ulimwengu huu inabadilika.+ 1 Timotheo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hakika, huo ni njia ya kupata faida kubwa,+ huu ujitoaji-kimungu+ pamoja na ujitoshelevu.+ Waebrania 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+
16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+
31 na wale wanaoutumia ulimwengu+ wawe kama wale wasioutumia kwa ukamili; kwa maana tamasha ya ulimwengu huu inabadilika.+
5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+