2 Wakorintho 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 huku tukiendelea kukaza macho yetu, si juu ya vitu vinavyoonekana, bali juu ya vitu visivyoonekana.+ Kwa maana vitu vinavyoonekana ni vya muda,+ lakini vitu visivyoonekana ni vya milele.+ Wafilipi 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana kwa habari yangu kuishi ni Kristo,+ na kufa+ ni faida.
18 huku tukiendelea kukaza macho yetu, si juu ya vitu vinavyoonekana, bali juu ya vitu visivyoonekana.+ Kwa maana vitu vinavyoonekana ni vya muda,+ lakini vitu visivyoonekana ni vya milele.+