14 Kwa maana ikiwa imani yetu ni kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa tena,+ vivyo hivyo pia, wale ambao wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.+
8 Tangu wakati huu na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu+ katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia na wale wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.
13 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema: “Andika: Wenye furaha ni wafu+ wanaokufa katika muungano na Bwana+ tangu wakati huu na kuendelea.+ Ndiyo, roho inasema, acheni wapumzike kutokana na kazi zao za jasho, kwa maana mambo waliyotenda yanaambatana nao moja kwa moja.”