Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini kila mmoja katika daraja lake mwenyewe: Kristo aliye matunda ya kwanza,+ baadaye wale walio wa Kristo wakati wa kuwapo kwake.+

  • Wafilipi 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ambaye ataufanya upya mwili wetu wa hali ya chini+ ili uwe kama mwili wake wenye utukufu+ kulingana na utendaji+ wa nguvu alizo nazo, ndiyo, kuvitiisha+ vitu vyote kwake mwenyewe.

  • 2 Wathesalonike 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, akina ndugu, kwa habari ya kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja kwake,+ tunawaomba ninyi

  • Ufunuo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaona viti vya ufalme,+ na kulikuwa na wale walioketi juu yake, nao wakapewa mamlaka ya kuhukumu.+ Ndiyo, niliona nafsi za wale waliouawa kwa shoka kwa ajili ya ushahidi waliotoa kumhusu Yesu na kwa ajili ya kusema juu ya Mungu, na wale ambao hawakumwabudu yule mnyama-mwitu+ wala sanamu+ yake na ambao hawakupokea ile alama juu ya paji la uso wao na juu ya mkono wao.+ Nao wakawa hai na kutawala wakiwa wafalme+ pamoja na Kristo kwa miaka elfu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki