3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+
31 “Wakati Mwana wa binadamu+ atakapofika katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye,+ ndipo atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu.+
16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni+ akiwa na mwito wenye amri, kwa sauti ya malaika mkuu+ na kwa tarumbeta+ ya Mungu, na wale walio wafu katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza.+