Waroma 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+ 2 Wakorintho 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kwa maana tunatembea kwa imani, si kwa kuona.+ Waebrania 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Imani+ ni tarajio lililohakikishwa la mambo yanayotumainiwa,+ uthibitisho ulio wazi wa mambo halisi ingawa hayaonekani.+
34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+
11 Imani+ ni tarajio lililohakikishwa la mambo yanayotumainiwa,+ uthibitisho ulio wazi wa mambo halisi ingawa hayaonekani.+