Luka 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa mitume wakamwambia Bwana: “Tupe imani zaidi.”+ Luka 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninawaambia ninyi, Yeye atasababisha watendewe haki upesi.+ Hata hivyo, Mwana wa binadamu atakapofika, je, kwa kweli ataipata imani duniani?” Wagalatia 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena, kwamba hakuna yeyote ambaye kwa njia ya sheria hutangazwa kuwa mwadilifu+ kwa Mungu ni wazi, kwa maana “mwadilifu ataishi kwa sababu ya imani.”+
8 Ninawaambia ninyi, Yeye atasababisha watendewe haki upesi.+ Hata hivyo, Mwana wa binadamu atakapofika, je, kwa kweli ataipata imani duniani?”
11 Tena, kwamba hakuna yeyote ambaye kwa njia ya sheria hutangazwa kuwa mwadilifu+ kwa Mungu ni wazi, kwa maana “mwadilifu ataishi kwa sababu ya imani.”+