Marko 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mara moja baba ya yule mtoto mchanga akapaaza sauti, akasema: “Nina imani! Unisaidie mahali ambapo ninahitaji imani!”+ Waefeso 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+ Waebrania 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu+ na Mkamilishaji wa imani yetu,+ Yesu. Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake, yeye alivumilia+ mti wa mateso, akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+
24 Mara moja baba ya yule mtoto mchanga akapaaza sauti, akasema: “Nina imani! Unisaidie mahali ambapo ninahitaji imani!”+
8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+
2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu+ na Mkamilishaji wa imani yetu,+ Yesu. Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake, yeye alivumilia+ mti wa mateso, akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+