Habakuki 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana maono hayo bado ni ya wakati uliowekwa,+ nayo yanafanya haraka kuelekea mwisho, wala hayatasema uwongo. Hata yakikawia, endelea kuyatarajia; kwa maana bila shaka yatatimia.+ Hayatachelewa. Waebrania 10:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa maana bado “muda kidogo sana,”+ na “yeye anayekuja atafika naye hatakawia.”+
3 Kwa maana maono hayo bado ni ya wakati uliowekwa,+ nayo yanafanya haraka kuelekea mwisho, wala hayatasema uwongo. Hata yakikawia, endelea kuyatarajia; kwa maana bila shaka yatatimia.+ Hayatachelewa.