Marko 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Lakini Yesu, baada ya kuwaita, akawaambia: “Mnajua kwamba wale ambao huonekana kuwa wanatawala mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu wao hutumia mamlaka juu yao.+ Luka 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+
42 Lakini Yesu, baada ya kuwaita, akawaambia: “Mnajua kwamba wale ambao huonekana kuwa wanatawala mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu wao hutumia mamlaka juu yao.+
24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+