Luka 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini unapoalikwa, nenda ukaketi mahali pa chini zaidi,+ ili mtu ambaye amekualika atakapokuja akuambie, ‘Rafiki, nenda juu zaidi.’ Ndipo utakapokuwa na heshima mbele ya wageni wenzako wote walioalikwa.+ Yohana 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, ikiwa mimi, nijapokuwa Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ ninyi pia mnapaswa kuoshana miguu.+ Waefeso 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+ Wafilipi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,
10 Lakini unapoalikwa, nenda ukaketi mahali pa chini zaidi,+ ili mtu ambaye amekualika atakapokuja akuambie, ‘Rafiki, nenda juu zaidi.’ Ndipo utakapokuwa na heshima mbele ya wageni wenzako wote walioalikwa.+
14 Kwa hiyo, ikiwa mimi, nijapokuwa Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ ninyi pia mnapaswa kuoshana miguu.+
2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+
3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,