Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea,+ na kusema, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo nitawapa ninyi!’ ndipo mkaasi agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkumwamini+ wala hamkuisikiliza sauti yake.+

  • Zaburi 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+

      Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+

      Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+

      Kwa sababu wamekuasi wewe.+

  • Zaburi 107:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana waliyaasi+ maneno ya Mungu;+

      Na shauri la Aliye Juu Zaidi hawakuwa wameliheshimu.+

  • Isaya 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+

  • Isaya 63:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+

  • Ezekieli 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘ “Nao wakaanza kuniasi,+ wala hawakukubali kunisikiliza. Kila mmoja wao hakuyatupilia mbali machukizo ya macho yake, nazo sanamu zao za mavi za Misri hawakuziacha,+ hivi kwamba nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiliza hasira yangu juu yao katikati ya nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki