23 Na Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea,+ na kusema, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo nitawapa ninyi!’ ndipo mkaasi agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkumwamini+ wala hamkuisikiliza sauti yake.+
8 “ ‘ “Nao wakaanza kuniasi,+ wala hawakukubali kunisikiliza. Kila mmoja wao hakuyatupilia mbali machukizo ya macho yake, nazo sanamu zao za mavi za Misri hawakuziacha,+ hivi kwamba nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiliza hasira yangu juu yao katikati ya nchi ya Misri.+